Reader Settings

HADITHI: SIKU ZA MWISHO

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

WhatsApp: +255621567672

Email: [email protected]

UMRI: 18+

SEHEMU YA MIA KUMI NA TISA

Lionela aliuzungusha ule upanga wake ukakita kwenye shingo ya yule mwanaume ambaye alienda kumpokea hivyo jumla humo ndani wakawa wamebaki watu nane ukijumlisha na yeye mwenyewe. Alirudi nyuma na kuufunga mlango akiwa anavuja damu, hakuna binadamu ambaye alikuwa anatakiwa kutoka akiwa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next