Ilikuwa ni kama kimbunga Jobo kilichokuwa kimejitengeneza ndani ya hili eneo kiasi kwamba ile mashua na Manuari pamoja na wanajeshi wa kikosi cha Dragoni walisukumwa mbali.
“Ni nguvu gani hii?”Aliongea Kibonge huku akiendelea kushangaa , kilichowashangaza Zaidi ni kwamba zilipita dakika kumi pasipo ya Roma na Tzeng kuonekana juu ya maji , ikimaanisha kwamba walikuwa wakipigana chini ya maji.
“Mbwa Mwitu kimbia..!”Aliongea Kobota baada ya …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments