Reader Settings

Roma alitabasamu na aliona kabisa amejiingiza kwenye mtego wa Edna , na kujilaumu kwa kutokuwa makini na maneno yake , lakini alijiwazia kuwa sheria yake kubwa ni kuongea ukweli pale inapobidi kufanya hivyo.

“Nimelala na Dorisi ,Nasra , Rose na Neema Luwazo”Aliongea na kumfanya Edna akunje sura , kitendo cha Roma kujibu swali lake bila hatia kilimuuzi sana na alitamani agonge geti na gari

“Bebi …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next