Roma alitabasamu na aliona kabisa amejiingiza kwenye mtego wa Edna , na kujilaumu kwa kutokuwa makini na maneno yake , lakini alijiwazia kuwa sheria yake kubwa ni kuongea ukweli pale inapobidi kufanya hivyo.
“Nimelala na Dorisi ,Nasra , Rose na Neema Luwazo”Aliongea na kumfanya Edna akunje sura , kitendo cha Roma kujibu swali lake bila hatia kilimuuzi sana na alitamani agonge geti na gari
“Bebi …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments