Reader Settings

Mheshimiwa Senga baada tu ya kushuka kwenye Ndege alianza kusalimiana na mwenyeji wake Raisi Kamau ,aliekuwa ameambata na mke wake Maina .

Muda wote Maina alikuwa akimwangalia Senga , mwanamama huyu alionekana kuwa na majuto makuu , alionesha hali ya kujutia kwa kitendo cha kujivika sura bandia ili mradi asifahamike uwepo wake duniani kwa Senga.

Senga nae licha ya kwamba alikuwa akisalimiana na viongozi mbalimbali …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next