Mzee Alex pamoja na wafanya biashara wengine waliokuwepo eneo la maegesho , walikuwa kwenye mshangao mkubwa sana , ni kama macho yao yaliku yakiwadanganya kwa kile walichokuwa wakikiona mbele yao , mtu ambaye dakika chache nyuma walimshuhudia kupigwa risasi alikuwa amembeba Seif begani , kwanini wasishangae.
“Jamani si tumeshudia akipigwa risasi huyu, au haikumpata?”Aliuliza mwanamama mmoja mnene aliekuwa ameshikilia simu yake kubwa ya I phone …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments