Edna asubuhi ya leo alikuwa ameamka mapema kuliko isivyokuwa kawaida yake , leo hii alikuwa sebuleni huku Bi Wema akiendelea kufanya usafi wa nyumba.
Magdalena ambaye alikuwa ashaamka mapema tu alikuwa ameketi kwene masofa huku akiangalia Runinga , taarifa ya habari ya asubuh.
Taarifa ambayo ilimfanya Magdalena kukaza macho ni juu ya kulipuka kwa mlima Oldonyo Leangai uliopo huko Arusha baada ya miaka Zaidi ya …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments