Mrembo yule baada ya kunyamaza kwa dakika mbili , huku akifanya hali ya hewa kuwa tulivu alianza kuongea.
“Chaneli ndio jina langu ambalo nalipenda sana , na kutokana na kuitwa Chaneli nimeamua kuchagua aina hili la Vazi kutoka kwa kampuni maarufu duniani ifahamikayo kwa jina la Chaneli”aliongea na kuwafanya wanawake hapa waliokuwa wakipenda kuvaa kuelewa sasa vazi zuri alilokuwa amevaa mrembo huyu ni kutoka kwa …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments