Roma baada ya kusoma kikaratasi kilichokuwa kimeachwa na kundi la Kijapani lililokuwa likifahamika kama Yamata Sect , alin`gata meno kwa hasira.
Alietembea uelekeo wa chumba cha mazoezi na baada tu ya kufika alifungua sehemu ambayo alikuwa ameficha kiboksi alichokuwa ametoka nacho kutoka Mbagala na baada ya kukitoa , alikifungua ndani na akatoa kijiwe flani hivi ambacho kilikuwa na ukubwa wa Goroli , ni jiwe ambalo …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments