Reader Settings

Roma hakujali sana juu ya Babu yake katoa dawa hizo , alizipokea na kutembea taratibu kuelekea uelekeo wa nyumbani , kwani hakuwa amekuja na gari , wakati akiwa njiani alikutana na mama mmoja aliekuwa anauza vijikeki flani hivi.

“Baba nunua Kashata”Aliongea mwana mama huyu baada ya kumsimamisha Roma.

“Ndio vitu gani?”Aliuliza Roma kwani hakuwahi kusikia hilo jina la Kashata.

“Ni keki za Karanga zilizochanganywa na …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next