Juma licha ya kwamba alikuwa amemuona Roma lakini hakuonyesha hali yoyote ile ya kutaka kumsalimia, Roma aliekuwa amekaa na Benadetha alishindwa kujua ni kwanini watu hao wanne wapo hapa ndani ya mgahawa , kwani kwa muonekano wao hawakuonekana kama watu ambao wamekuja kwa ajili ya kula tu , bali walionekana kama kuna jambo muhimu ambalo walikuja kulizungumza.
Juma alinyooshea kidole Meza iliokuwa tupu pembeni kidogo …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments