Reader Settings

Fayezi alimsogelea Roma na kumfanya Amina asijue ni jambo gani Fayezi analikusudia kwenye moyo wake , kwani kwanza hakuonesha hasira yoyote kwenye macho yake na aliweka sura yenye tabasamu.

“Samahani sana Mr ila naomba kulifahamu jina lako?”Aliongea Fayez

“Naitwa Roma Ramoni , na Mr Fayez kama una hasira na mimi kwa kukuchukulia mwanamke wako na kulala nae naomba utoe kabisa hasira zako hapa , najua …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next