Reader Settings

Abubakari na Elvice tukio la kwanza kuwafanya wachanganyikiwe likuwa ni juu ya taarifa ya Mzee Chino kuitisha waandishi wa habari na kutolea ufafanuzi kile kilichokuwa kikiendelea kwenye mtandao.

“Kwa taarifa hii naamini ni moja ya hatua nzuri ambayo Edna amechukua”Aliongea Elvice huku akikodolea Skrini ya soko la hisa , ukweli licha yataarifa hio kutolewa lakini soko halikuonyesha mabadiliko makubwa.

“Mtueleze ni nini kinafatia kwa sasa”Aliongea …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next