Reader Settings

Ni ndani ya ofisi ya ikulu ya taifa la Kenya anaonekana mheshimiwa Kamau Kamau akiwa ndani ya ofisi akiendelea na majukumu yake , huku mbele yake akiwa amesimama katibu muhtasi wake , Mheshimiwa huyu alioneskana kuna karatasi ambazo alikuwa akisaini kwani alipitia kila ukurasa na kisha kutia saini yake , kitendo ambacho kilidumu kwa takribani dakika kama kumi hivi mpaka kumaliza na kisha akamkabidhi …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next