Reader Settings

“Diego najua unachofikiria ila kwa sasa nataka ufatilie jambo moja tu”

“Ndio mfalme”

“Fuatilieni mfahamu imekuwaje Tanzania wakaweza kujenga aina hi ya Maabara hapa nchini nataka kujua kama kulikuwa na kibali kutoka Marekani au Umoja wa Mataifa kupitia WHO”

“Sawa Mfalme lakini hio teknolojia kama itaingia kwenye mikono ya watu wabaya haitoleta shida mfalme?”Aliongea Diego na kumfanya Roma atabasamu kidogo.

“Diego Stop Being Greedy ninachotaka …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next