Magdalena hakuamini kama mtu aliekuwa mbele yake ni Roma , aliona ni kama miujiza na kujiuliza kwa wakati mmoja ni muda gani kafika ndani ya hili eneo , kwani ni sekunde chache mbele alionekana kukata tamaa kabisa , lakini sasa hivi tu anatokea mbele yake.
“Roma unafanya nini hapa?”Aliongea Magdalena huku akijinyanyua kivivu
“Unauliza niko hapa ulifikiri nimependa , Nyie kama jeshi la Tanzania mnapata …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments