Reader Settings

“Mbona umeshangaa hivyo Nasra unafikiri hawezi?”Aliuliza Edna na kumfanya Nasra kurudia katika hali ya ukawaida.

“Hapana Boss nimeshangaa , maana kaanza kazi juzi na kupandishwa cheo mpaka kuwa Director , si jambo dogo”

“Ni kweli unayosema , lakini Roma amefanikisha jambo kubwa ka kampuni kuliko wafanyakazi wote waliofanya kazi hapa miaka na miaka , hivyo naona anafiti kwenye hio nafasi”Aliongea Edna na kumfanya Nasra atabasamu, …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next