Naam ni siku nyingine kabisa , siku ambayo Roma na Edna walikuwa wakielekea Ufaransa , Roma alikuwa tayari ashajiandaa na sasa alikuwa eneo la Sebuleni akiwa amesimama na Sophia aliekuwa akimuweka Tai vizuri , Roma alitabasamu na kumuona Sophia kama mwanamke ambaye yupo tayari kufanya vitendo ambavyo vilitakiwa kufanywa na Edna mke wake.
“Uitumie hio nafasi vizuri”Aliongea Sophia na kumfanya Roma amwangalie.
“Unamaanisha nini Sophia?”
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments