Fodesa masikio yake yalikuwa vizuri sana na katika Maisha yake asingeshindwa kutofautisha Sauti ya Depney hata kidogo , alikuwa na uhakika ni sauti yake.
“Director , siamini kama ni wewe”Aliongea kwa mshangao.
“Haha..Ooh kumbe ni wewe Director Depney,Unaonekana kuwa na muda wa kuchezea mpaka kuanzisha kamchezo ka kujifanyisha wewe ni Apollo , Nakusikitikia mpango wako umefeli”Aliongea Roma huku hali ya chumba ikibadilika kutoka kwenye hofu …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments