Haikueleweka Roma alikuwa amewafanyia nini , lakini wanajeshi hawa walionekana kuwa macho lakini viungo vyao havikuweza kufanya kazi , lilikuwa ni jambo la kushangaza ambalo Roma alifanya kwa wanajeshi wenye mafunzo takribani ya arobaini wote.
“Msiniangalie kwa macho ya mshangao , nishasema zoezi la laeo ni kijifunza namna ya kujiokoa , haijalishi huwezi kutembea , lakini kwasababu upo hai unatakiwa ujaribu bahati yako ya kujiokoa …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments