Nasra alishangaa kumuona rafiki yake muda huo wa usiku , kwani haikuwa kawaida yake kabisa ya Najma kuja kumtembelea usiku, alimkaribisha vizuri ndani kwa kumkumbatia.
“Mbona hujanipigia simu Shosti kama unakuja , huenda usingenikuta”Aliongea Nasra huku akimshika Najma mkono na kumkalisha kwenye sofa.
“Nishazoea kila ninapokuja kukutembelea nakukuta”Aliongea Najma huku akitoa tabasamu hafifu na Nasra alitabasamu na kukaa.
“Juma kaka yako anaendeleaje , mara ya …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments