Kiasi alichotaja Nasra kilikuwa ni kikubwa mno na Najma hakuwa tayari kukubaliana na rafiki yake.
“Nasra Hapana”
“Najma usiwe na wasiwasi , kumbuka jana usiku nilichokuambia, tuko Pamoja mpaka mwisho”Aliongea Nasra huku akimshika mkono Najma.
“Sawa Miss Nasra ni maamuzi mazuri , na niwahakikishie matibabu kwa ndugu yenu yataendelea kwanzia sasa”Aliongea Dokta Issay na sura yake ya kifisadi
“Huyu mtoto mkali , ana moyo mzuri …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments