Mwanaume ambaye alikuwa ameingia hapo alikuwa ni mzungu mzee wa miaka sabini Kwenda themanini hivi , mwenye kipara ambacho sio cha kunyoa bali kile cha uzeeni.
Alikuwa amevalia koti la rangi nyeusi na suruali ya kitambaa , mzee huyo hakuwa peke yake bali alikuwa na kijana mwingine wa kizungu ambaye alionekana kuwa msaidizi wake,kijana ambaye alikuwa amevalia suti na kupendeza huku mkononi akiwa ameshikilia mkoba.
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments