Reader Settings

Mwanaume ambaye alikuwa ameingia hapo alikuwa ni mzungu mzee wa miaka sabini Kwenda themanini hivi , mwenye kipara ambacho sio cha kunyoa bali kile cha uzeeni.

Alikuwa amevalia koti la rangi nyeusi na suruali ya kitambaa , mzee huyo hakuwa peke yake bali alikuwa na kijana mwingine wa kizungu ambaye alionekana kuwa msaidizi wake,kijana ambaye alikuwa amevalia suti na kupendeza huku mkononi akiwa ameshikilia mkoba.

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next