Reader Settings

Aliekuwa mlangoni hakuwa mwingine bali ni Ashley mtoto wa raisi Senga na Edna alishangaa kumuona Ashley kwenye ofisi yake asubuhi hio.

“Edna..!!!”Aliita Ashley na Edna alitabasamu na kutoka kwenye kiti chake na kumsogelea Ashley na kumkaribisha kwa kumkumbatia.

“Karibu sana Ashley , umerudi lini?”

“Nina siku mbili Tanzania”Aliongea Ashley kwa furaha kabisa

“Boss mimi nitaondoka kama hakuna maagizo mengine”

“Naomba uendelee kufatilia kinachoendelea ndani ya …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next