“Mr Deniss nadhani sio utaratibu kuingia kwenye nyumba za watu kwa namna ya kuruka ukuta , unataka tukufikirie vipi?”Aliuliza Roma baada ya kugundua mtu aliekuwa akisababisha mgandamzo wa hewani ni Denisi na ukweli alishangaa mno kwani aliona mabadiliko makubwa sana kwenye mwili wa Denisi tofauti na alivyokutana nae kwa mara ya mwisho ndani ya familia ya Mzee Atanasi.
“Wewe muuaji huna haja ya kuniuliza maswali …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments