Reader Settings

Mtu wa kwanza kupokea taarifa za kifo cha Salah alikuwani raisi Kigombola , Raisi mstaafu huyu baada ya kusikia kifo cha Salah alijawa na wasiwasi kweli , kilichomfanya kugopa ni ukubwa wa tukio hilo kwani kifo cha Salah hakikuwa cha kuitwa na Mungu bali cha kutekelezwa na binadamu.

“Ilikuwaje Erick?”Aliuliza mheshimiwa Kigombola huku uso wake ukiwa umesawajika kwa wasiwasi.

“Mheshimiwa Abubakari Hamadi kanipigia simu na …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next