Reader Settings

Kila mtu alikuwa kwenye mshituko mkubwa , ni kama hawaamini kama ni kweli Roma alikuwa ashaua, tena sio kuua mtu wa kawaida bali ni ndugu yake , Blandina ndio aliekuwa kwenye majonzi kuliko watu wote , kwani swala la Roma kumuua kaka yake likuwa ni swala kubwa sana na aliamini swala hilo litamuweka Zaidi mbali na baba yake , jambo ambalo hataki litokee kwani aliamini …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next