Ni muda wa mchana juu ya bahari , inaonekana meli kubwa ya kivita ikiambaa ambaa kwenye ‘International water”, upepo na mawimbi ndio kitu pekee kilichoweza kusikika Zaidi kuliko injini zilizokuwa zikiendesha meli hio
Juu kabisa ya meli wanaonekana wanajeshi takribani ishirini hivi wenye vyeo tofauti tofauti huku wakiwa wamesimama kwa namna ya wasiwasi sana wakimwangalia mwanaume kijana aliesimama mbele yao.
Kwa jinsi walivyokuwa wakionekana ni …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments