“Babe Wifey , mnaendeleaje huko Tanzania, nimekumiss sana mke wangu kipenzi”Aliongea Roma , lakini hakukuwa na jibu upande wa pili na kumfanya kutoa simu sikioni na kuangalia kama imekatwa , lakini aligundua simu haijakatwa.
“Wife muda si mrefu nitarudi Tanzania , nipo Hokkaido huku , niambie unataka nikuletee zawadi gani wewe na Lanlan , Unataka pete ya Almasi yanye ukubwa kama jicho , vipi kuhusu …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments