Upande wa Tanzania wakati mheshimiwa Kigombola anawasiliana na Yan Buwen ilikuwa ni usiku wa manane , yaani wa kuamkia siku ya tarehe ishirini na sita.
Yan Buwen mara baada ya kuongea na simu na mheshimiwa Kigombola alijikuta akicheka sana , akicheka kiasi kwamba hata mwanamke wa Kitanzania aliekuwa juu ya kitanda kushangazwa na namna mchina huyo alivyokuwa akicheka.
“Hades kesho lazima nifanye jambo ambalo litakuachia …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments