Reader Settings

Kabla hata ya mheshimiwa Kigombola kujibu wanaume wawili ambao walikuwa ni wageni wa kualikwa walimkamata Khatibu ambaye alionekana kutafuta namna ya kutoroka , na wanaume hao walionekana kuungwa mkono na kila mgeni , walikuwa tayari kumtoa Khatibu kama sharti walilolopewa na hawakuata kuyaweka Maisha yao mikononi mwa Khalifa na Kigombola ndio maana walaiona kufanya maamuzi wenyewe ndio busara iliokuwepo kwa muda huo.

Kitendo cha Khatibu …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next