Roma aliweza kufika nyumbani kwa Afande Kweka na ilionekana walikuwa wakisubiriwa kwa hamu , kwani hapo ndani ilikuwa ni kama sherehe ambayo ilikuwa ikiendelea kwa jinsi mpangilio ulivyo.
Mzee Kweka mwenywe ndio aliweza kutoka mpaka nje kwa ajili ya kumpokea mjuukuu wake Denisi ambaye alimtoa kafara kwa ajili ya ugonjwa wake miaka mingi iliopita , sasa anarejea nyumbani kama mwana mpotevu.
Afande Kweka alikuwa akisubiria …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments