Reader Settings

“Unapaswa kutoa sadaka ya kitu unachopenda sana kwenye Maisha yako?”Aliongea Balozi na kumfanya Raisi Kamau kushangaa.

“Kitu ninachokipenda?”

“Ndio mheshimiwa Kamau Kamau”Alijibu balozi aliemtembelea raisi Kamau na kumfanya ndugu balozi kutabasamu huku Mheshimiwa kamau akijiuliza ni kitu gani anakipenda sana kwenye Maisha yake , lakini wakati huo huo upande wa Tanzania na Raisi Senga kufikiria ni kitu gani anakipenda Zaidi.

“Tunamuhitaji mkeo kama sehemu ya …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next