Reader Settings

Nasra alionekana kuulizia ni kipi afanye , kwani alikuwa akishindwa kufanya baadhi ya maamuzi kutokana na kwamba yalikuwa yakimtaka CEO mwenyewe na ndio maana akapiga simu , lakini Edna alimjibu kwamba yupo eneo la maegesho hivyo anapandisha juu na Nasra alionekana kupata ahueni.

“Roma unaruhusa yangu kumtoa Benadetha polisi , nataka arudi kazini anisaidie baadhi ya kazi zinazohusiana na idara yake”Aliongea Edna.

“Okey mke wangu, …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next