Nasra alionekana kuulizia ni kipi afanye , kwani alikuwa akishindwa kufanya baadhi ya maamuzi kutokana na kwamba yalikuwa yakimtaka CEO mwenyewe na ndio maana akapiga simu , lakini Edna alimjibu kwamba yupo eneo la maegesho hivyo anapandisha juu na Nasra alionekana kupata ahueni.
“Roma unaruhusa yangu kumtoa Benadetha polisi , nataka arudi kazini anisaidie baadhi ya kazi zinazohusiana na idara yake”Aliongea Edna.
“Okey mke wangu, …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments