Wafanyakazi wote waliokuwa ndani ya ukumbi wa mikutano walizubaa na kushangaa kwa wakati mmoja , walijiuliza kwa wakati mbaya kama huyo nani angeweza kufikiria kubadilisha CEO wa kampuni?.
“Nadhani ni jambo la kawaida , wamenunua hisa zetu kwa mamilioni ya pesa na sasa hisa zimeshuka thamani kwa Zaidi ya asilimia therathini ni haki kwa upande wao kupatwa na wasiwasi”Aliongea mfanyakazi mmoja.
“Waambie kama wanataka kuuza …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments