Roma alijikuta akitabasamu kwa uchungu kutokana na maneno ya Edna , aliamini wanawake wengi wako hivyo kuwa na moyo mwepesi sana , hivyo kuua kwao ni jambo gumu sana kufanyika kwa upande wao.
“Wanawake wote mko hivyo lakini kama angekuwa Rose ingekuwa Habari nyingine , angetuma watu wake wamletee kichwa tu, kwenye sinia”
“Wewe subuthuu., usimtumie Rose kuniamsha nakuambia , Siwezi kuwa kama yeye,harafu hujaniambia …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments