Baada ya Jeremy kutoka Kizwe alijikuta akilia kilio kisichokuwa cha kawaida , alikuwa akijitahidi tu kuwa jasiri mbele ya Raisi Jeremy lakini ukweli alikuwa akiogopa sana , hakuamini ndio hivyo anakwenda kufa , tena mtu ambaye anakwenda kumuua ni mume wake ambaye ameoana nae kwa miaka mingi.
“Kumbe mwenzangu ulikuwa mke wa raisi , ukashindwa kunipasha habari?”Aliongea Lekcha bila wasiwasi.
“Haijalishi kuwa mke wa raisi …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments