Muda huo huo Poseidon alionekana mbele yao , akiwa amevalia nguo za upishi na hata kile kikofia cha juu alikuwa nacho , ilionekana kabla ya kuanza safari alikuwa bize kukaangiza mahanjumati.
“Neptune there has been misunderstanding . Hades was not the one who broke the treat of gods”
“Neptune kuna makosa , Hades hajahusika na kuvunja mkataba wa kiuungu”Aliongea Christen lakini Poseidon aliyadharau maeneo yake …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments