Robert alijikuta akiwa kwenye mshangao na sio kwake tu na wafanyakazi aliokuwa akiwafokea pia walijikuta kuchanganyikiwa.
“Pumbavu kabisa , inaonekana tumapata tatizo lingine la kushughurikia kwanza, tunapaswa kuondoka”Aliongea akiwapa ishara wamfuate.
Walitoka na moja kwa moja walienda mpaka floor ya chini Zaidi , sehemu ambayo ndio kuna udhibiti wa mitambo yote ya idara hio.
Eneo hilo na la juu lilikuwa na utofauti mkubwa sana , …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments