Roma ilibidi ampe Edna kwanza maelezo kwa ufupi kuhusu nguvu anazotumia , hakuziita kwa jina la mbinu za kijini bali yeye aliziita mwenyewe mbinu za Heaven and Earth’ , yaani mbinu za kuvuna nishati kati ya mbingu na Ardhi.
Edna hakushangaa sana kwani mwenyewe alikuwa na mengi ambayo hakuwa akiyajua kuhusu Roma , lakini jambo moja ambalo lilimfanya kushangaa ni swala la Roma kusema kwamba …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments