Reader Settings

Roma mara baada ya simu kukatwa ilibidi kwanza awasiliane na Tanya kujua nini kinaendelea kwani hakuwa hata na taarifa.

“Master ni yapi maagizo yako?”Aliongea Tanya mara baada ya kupokea simu , lakini sauti ya Tanya Roma hakuwa akiizoea kabisa.

“Tanya Boss Edna kasema kuna kikao nimekosa leo , nini kinaendelea ?”

“Ni project ilioandaliwa makao makuu , inayohusisha Semina kwa wafanyakazi wote wa kampuni yetu …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next