Ukweli ni kwamba alichokuwa akikiona Roma sio uhalisia kwamba kilikuwa kikitendeka , watu wote walishangaa kwanini alikuwa vile , Denisi hata yeye alishangazwa na mabadiliko ya Roma lakini hakutaka kujiuliza mara mbilimbili kwani alitoweka palepale baada ya kupata mwanya.
Wakati Denisi alivyokimbia Roma hakuweza hata kutambua nini kinatokea , lakini kile alichokuwa akiona sio uhalisia na alikuwa akiongea mwenyewe kama vile mtu aliechanganyikiwa ghafla.
“Roma …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments