Chanzo ni Yeye
Sehemu ya 19
Na. Machokulenga TZ
0623238283
Giza lilikuwa zito katika akili ya Ayubu. Ndani ya mfumo wa NDOTO YA KWANZA, kila kilichoonekana, kilisikika, hata kilichohisiwa, kilikuwa ni bandia lakini halisi kupita maelezo. Katika ulimwengu huo, Ayubu aliamka akiwa katika jiji la ajabu lisilojulikana kwenye ramani ya kawaida. Majengo yalikuwa yanang'ara, anga lilikuwa rangi ya zambarau, na watu waliokuwa wakitembea walikuwa na …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments