Reader Settings

Mwenzake ambaye aliipangua bastola alikuwa anakuja nyuma ya Yohani, alirusha ngumi ya mgongoni ambayo haikufua dafu kwa sababu mhusika alisogea mbele ikaishia kumgusa kwenye koti lake tu bila kuleta madhara, aligeuka kwa kulizungusha hilo koti lake ila wakati anafanya hayo alikuwa amechomoa kisu chake ambacho kilikita kwenye shingo ya yule mwanaume, alikufa pale pale akiwa amesimama.

Mauaji yale ya kikatili ndiyo yalimpa onyo dokta …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next