“Wakihitaji muwaone watakuja wao wenyewe hivyo hilo sio mimi wa kupanga”
“Sawa bosi” mkutano ulikuwa umeisha, wote walitoa heshima kwake na kutoka humo ndani ambapo yeye alibaki na Yohani pekee. Alimgeukia mwanaume huyo na kumwangalia kwa umakini kwenye macho yake.
“Kuna ushahidi wowote uliacha kwenye kazi zote ambazo umezifanya?”
“Hapana bosi”
“Kwa sasa nahitaji umfuatilie Damasi kwa umakini lakini kabla ya kufanya hilo nahitaji …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments