“Kwa sasa wewe hautakiwi kufanya jambo lolote wala kujionyesha kwamba kuna kitu unajua kwani wakifahamu hiyo basi wewe ni maiti inayo tembea”
“Ila kwa sasa mimi hawawezi kuniua”
“Kwanini?”
“Kwa sababu nina mzigo wao wa thamani kubwa”
“Mzigo upi?”
“Mzigo wa dhahabu wa Madam Kate”
“Madam Kate ndiye nani?”
“Nadhani ndiye kiongozi wa jambo hili ambalo linaendelea”
“Ni mtanzania?”
“Ndiyo”
“Maana yake sio bosi …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments