Reader Settings

“Sina maana hiyo, wewe ndiye ambaye umenifunza yote haya ambayo nayafanya lakini kwa kinacho endelea sasa tunavunja itifaki za kazi zetu, unawezaje kutoa amri itolewe taarifa ambayo hatuna uthibitisho nayo tena bila hata kunishirikisha?”

“Huujajibu swali langu Aaliyah, umeishia wapi kazi ambayo nilikupa?”

“Kuna ugumu wa kupata hizi taarifa kwa sababu ya stori za uongo zinazopikwa nashindwa kujua nianzie wapi na niishie wapi maana …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next