Reader Settings

Alitoka kwenye hiyo hoteli akiwa amejifunika kofia, akatembea kidogo na kwenda kuchukua boda boda, wakati yote hayo yanafanyika kuwa watu walikuwa wanamfuatilia kwa umakini mkubwa wakiwa ndani ya gari bila yeye kujua huenda ni kwa sababu hata wao walikuwa na mafunzo makini kama yake ila kama angekuwa mtu wa kawaida basi huenda angemshtukia muda mrefu tu. Piki piki ilimshushia kwenye daraja ya Mfugale ambapo alikuwa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next