Hamza pia, aliyekuwa pembeni, aliweza kusikia sauti ya Fionna ambayo haikuwa na utulivu.
Ilikuwa mara yake ya kwanza Hamza kumsikia Fionna akiwa katika hali hiyo. Ingawa hakumfahamu kwa muda mrefu, siku zote alimuona kama tomboy fulani hivi asieyumbishwa. Ila kumsikia analia kama msichana wa kawaida, alishangaa.
“Regina… samahani, kesho sitoweza kufika kwenye kampuni yako. Familia ya ukoo wa mzee wamekuja kunichumbia huko nyumbani na mchakato wa …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments