Mziwanda alimwangalia akamsikitikia kwa sababu alikuwa hajazoea "ustaarabu" wa chuoni.
Ustaarabu ambao kwa upande wake ulikuwa umevuka mipaka. Maingiliano kati ya watoto wa kike na wa kiume pale chuoni haikuwa na mipaka, jambo ambalo lilisababisha tabia hasi kuenea kama moto nyikani. Alijua vijana wengi waliokuwa "mumunye aliyeharibikia ukubwani" baada ya kufuata msemo wa kiingereza usemao, 'when you go to Rome, do what Romans do."
"Kijijini …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments