Reader Settings

“Jolly! Kwanini umeshuka mpaka huku?”

Regina mara baada ya kuona kiumbe chake alichokuwa akilea kikiwa kimefika kumlinda, alijikuta akiguswa sana na kuwa na wasiwasi kwa wakati mmoja.

Na ilikuwa ni kwa hakika, kwani wale wazee mara baada ya kumuona kasa yule macho yao yalichanua.
“Huyo ni kasa mweusi! Kivipi ni mkubwa namna hiyo?”
“Mwili wake wote ni mweusi, na nyumba yake ni safi kama marumaru. Isije ikawa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next